• Login
    View Item 
    •   DSpace Home
    • University Journals/ Articles
    • Journal Articles
    • View Item
    •   DSpace Home
    • University Journals/ Articles
    • Journal Articles
    • View Item
    JavaScript is disabled for your browser. Some features of this site may not work without it.

    Vipengele vya Fasihi Simulizi Vinavyooana na Hali Katika Taaluma ya Sheria

    Thumbnail
    View/Open
    Vipengele vya Fasihi simulizi vinayoona na Hali katika Taaluma ya Sheria.pdf (202.3Kb)
    Date
    2020-08-31
    Author
    Wekesa, Winnie Musailo
    Simiyu, Fred Wanjala
    Opande, Nilson Isaac
    Metadata
    Show full item record
    Abstract
    Utafiti ulilenga kubainisha vipengele maalum vya Fasihi Simulizi vinavyooana na hali katika taaluma ya Sheria. Utafiti uliegemea uendeshaji wa kesi kitamaduni miongoni mwa jamii ya Babukusu. Ili kuafikia lengo hili utafiti ulitumia mbinu ya kithamano ya utafiti. Idadi lengwa ya utafiti ilikuwa jumla ya kesi za kitamaduni tulizohudhuria na kuzirekodi. Utafiti ulijumuisha michakato miwili ya uteuzi wa sampuli; ikiwa ni uteuzi sampuli kimaksudina kinasibu. Uteuzi wa sampuli kimaksudi ulitumiwa kuchagua Chifu, naibu wa Chifu, mwenyekiti wa baraza la wazee na makala maalum yaliyoandikwa kuhusu Fasihi Simulizi na Sheria. Nao uteuzi wa sampuli kinasibu ulitumiwa kuteua mabaraza ya wazee na ya Chifu tulioyahudhuria.Waaidha, uchunguzi ulihusisha mbinu za uchambuzi wa yaliyomo, usailina uchunzaji-shiriki. Njia hizi zilitumika kukusanya data nyanjani na maktabani. Matokeoya utafiti yalichanganuliwa kithamano. Hii ni mbinu ya kuchanganua data ambayo mtafiti anaeleza na kufafanua matokeo ya utafiti wake kimaelezo. Kwa mujibu wa kesi tulizohudhuria, utafiti ulibaini kuwa kuna vipengele vya Fasihi Simulizi ambavyo vinaoana nahali ilivyo katika taaluma ya Sheria wakati wa uendeshajikesi kitamaduni miongoni mwa jamii ya Babukusu. Kwa hivyo ni muhali kusema kuwa matini za Kifasihi Simulizi huwa zinachota, kunukuu, kugeuza, kuiga kwa namna ya kufumba, kubeza au kurejelea kwa njia moja ama nyingine matini za Kisheria. Hali kadhalika tanzu zenyewe za Fasihi Simulizizinaingiliana na kuchangiana katika kutimiza mahitaji ya jamii kupitia shughulimbalimbali.
    URI
    https//doi.org/10.37284/eajss.2.2.193
    https://journals.eanso.org/index.php/eajss/article/view/193/141
    http://ir-library.mmust.ac.ke:8080/xmlui/handle/123456789/1971
    Collections
    • Journal Articles [411]

    DSpace software copyright © 2002-2016  DuraSpace
    Contact Us | Send Feedback
    Theme by 
    Atmire NV
     

     

    Browse

    All of DSpaceCommunities & CollectionsBy Issue DateAuthorsTitlesSubjectsThis CollectionBy Issue DateAuthorsTitlesSubjects

    My Account

    LoginRegister

    DSpace software copyright © 2002-2016  DuraSpace
    Contact Us | Send Feedback
    Theme by 
    Atmire NV